
Paroles de la chanson BAKULE by S'Black winner
Bakule oohooooo,
Bakule oohoooo,
Bakule oohooo,
Bakule ehee
S'Black i am!
Bakule oohooooo,
Bakule oohoooo,
Bakule oohooo,
Bakule ehee
Zawa kingdom!
Bakule oohooooo,
Bakule oohoooo,
Bakule oohooo,
nawapenda
Baba na mama muko kule.
Kaka na dada muko kule oh,
kule muji wangu nili zaliwa,
muji ambao ndani nili ona juwa,
bado nawa penda sana,
muda ukifika tuta onana, eh
bakule oh bakule oh.
Mchumba nta mwowa iko kule,
ndugu rafiki wako kule oh,
ule muji nta upamba mauwa,
baba mungu ata i nyesha nvuwa,
muji na upenda sana,
muji mzuri sito ukana,
umwambie mama nyumbanieee eh eh. Asi ni chukiyeee.
Msija fanya kusudieee.
Kusto taka ku rudieee.
Na mimi niko wa kule
kwishi uku siyo kazi bure,
kwani ba uku na bakuleeee
sote ni wa toto wa baba yuleeee
Bakule bakule oh oyaaaaa
bakule bukavu eh oyaaa
bakule goma oyaaa,
bakule bakule oh oyaaa
bakule kinshasa oyaaa
bakule lubumbashi oyaya eh.
Bakule oh eh eh
bakule oh eheheh
salamu zetu eheh
zi wa fikie eheheh
Ni kwamba muna hamu yaku ni ona tena,
na mimi ivyo na wa kumbuka sana, nirudi tubaki pamoja bwana,
ila siwezi ku ya sahau ya nyuma
Nikwamba mna hamu ya ku ni ona tena na mimi ivo na wa kumbuka sana,
nita kuja
nita kuja
mama yangu nita kuja ku ona,
nitakuja
nitakuja
mchumba lady nita kuja ku owa,
nitakuja eeeh
nitakuja,
ni wa one wale nita kuja,
nifike kule nita kuja,
niwe na wale nita kuja
umwambie mama nyumbanieee eh eh. Asi ni chukiyeee.
Misja fanya kusudieee.
Kusto taka ku rudieee.
Na mimi niko wa kule
kwishi uku siyo kazi bure,
kwani ba uku na bakuleeee
sote ni wa toto wa baba yuleeee
Bakule bakule oh oyaaaaa
bakule bukavu eh oyaaa
bakule goma oyaaa, b
akule bakule oh oyaaa
bakule kinshasa oyaaa
bakule lubumbashi oyaya.
Bakule oh eh eh
bakule oh eheheh
salamu zetu eheh
zi wa fikie eheheh
Bakule bakule oh oyaaa
bakule kilele oyaaa
bana kyeshero oyaaa,
bana majengooo oyaaa ,
bakule bakule oh oyaa
batoto ya himbi eh,
bana ndosho eh eheheh
Bakule oh eheheh
salamu zetu eh eheh
ziwafikiye
Papa Marcelin Cishambo eheh
ziwa fikiye,
gouverneur julien paluku eh eheh
ziwa kikiye,
jeancy shamamba TOUPODIEU,
ziwa fikiye
vieux nanga Josue MUFULA
ziwafikiye
brnard bahati ub box
ziwafikiye,
grand prtre erick musanganya
ziwa fikiye,
Dj Damas eh eh,
hemed salim eh eh,
Jc Kalems eh eh,
Mamy Ilela eh eh,
Jonas Mutia eh eh,
George Munyakatunzi eh eh,
Hubert Furuguta,
Fredy Tsongo
S'Black i am Winner